iqna

IQNA

tarjuma
Elimu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
Habari ID: 3478733    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /22
TEHRAN (IQNA) – Ignaty Krachkovsky alikuwa Mrusi mtafiti wa masuala ya mashariki na ya lugha Kiarabu ambaye anajulikana kwa tarjuma ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3477031    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Tafsiri ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tahirul Qadri, mwanazuoni mashuhuri wa Pakistani, amekamilisha tafsiri ya Kiingereza ya Quran Tukufu.
Habari ID: 3477017    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

TEHRAN (IQNA) – Lee Myung Won ni Muislamu kutoka Korea Kusini ambaye hivi sasa anafanya kazi ya kutafsiri Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kikorea.
Habari ID: 3475505    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Tarjuma ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Tarjuma mpya ya Qur’ani Tukufu kwa lugya ya Kifaransa imechapishwa nchini Algeria.
Habari ID: 3475370    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

IQNA: Waislamu nchini Malawi wamepongeza tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kiyao na kisema itawawezesha kufahami vyema zaidi mafundisho ya kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3470873    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/01