IQNA

Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Nishati nchini Tunisia lilitangaza kutekelezwa kwa mpango wa kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti nchini humu.
Ibada ya Hija 1444

Vidokezo vya afya kwa ajili ya wanaoelekea katika ibada ya Hija

TEHRAN (IQNA) – Hija, ni ibada ya kila mwaka ya dini ya Kiislamu katika mji mtakatifu wa Makka, inakaribia kutufikia, na safari ya kiroho pia inahusisha...
Sheikh Ibrahim Zakzaky

Fikra za Imam Khomeini bado ziko hai

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametangaza kuwa, licha ya kupita miaka 34 tangu kuaga dunia Imam Ruhullah Khomeini, fikra za mwasisi...
Hauli ya Imam Khomeini

Kongamano la Imam Khomeini lafanyika kwa njia ya intaneti Afrika Mashariki

Kongamano kwa mnasaba wa kukumbuka mwaka wa 34 wa kuaga dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) limefanyika kwa njia ya mtandao na kuwaleta pamoja...
Habari Maalumu
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanafungamana na jina la Imam Khomeini
Mtazamo

Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanafungamana na jina la Imam Khomeini

Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah...
04 Jun 2023, 18:12
Askari wa Misri aliwaua wanajeshi watatu wa utawala wa Israel
Mapambano

Askari wa Misri aliwaua wanajeshi watatu wa utawala wa Israel

Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimethibitishwa kuwa, wanajeshi watatu utawala huo wameangamizwa wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la risasi...
05 Jun 2023, 14:46
Imam Ruhullah Khomeini (RA) ni miongoni mwa viongozi vinara wa historia
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

Imam Ruhullah Khomeini (RA) ni miongoni mwa viongozi vinara wa historia

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amemtaja hayati Imam Ruhullah Khomeini (RA) kuwa ni miongoni mwa viongozi vinara wa historia.
04 Jun 2023, 13:31
Waziri wa Utalii wa Brazil avaa Hijabu wakati akitembelea maonyesho ya Qur'ani
Uislamu Brazil

Waziri wa Utalii wa Brazil avaa Hijabu wakati akitembelea maonyesho ya Qur'ani

Waziri wa Utalii wa Brazil Daniela Carneiro ametembelea maonyesho ya Qur'ani Tukufu yanayoendelea katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
04 Jun 2023, 17:56
Kijana Mmisri mwenye uwezo wa ajabu wa kuiga usomaji Qur’ani  wa maqarii maarufu duniani +Video
Qiraa ya Qur'ani

Kijana Mmisri mwenye uwezo wa ajabu wa kuiga usomaji Qur’ani wa maqarii maarufu duniani +Video

TEHRAN (IQNA) – Nureddin Ibrahim ni kijana wa Misri ambaye anajulikana kwa uwezo wake wa ajabu kuiga mitindo ya usomaji wa Qur’ani ya maqarii maarufu duniani.
04 Jun 2023, 18:20
Wapalestina Wazee Watengeneza Nakala za Qur'ani Tukufu kwa Hiari

Wapalestina Wazee Watengeneza Nakala za Qur'ani Tukufu kwa Hiari

TEHRAN (IQNA) Hisham Barzeq ni Mpalestina mwenye umri wa miaka 68 ambaye ana chumba kidogo katika moja ya misikiti huko Gaza.
04 Jun 2023, 14:46
Hijabu huwapa utambulisho Wanawake wa Kiislamu
Afisa wa HIzbullah

Hijabu huwapa utambulisho Wanawake wa Kiislamu

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa vuguvugu la muqawama la HIzbullah la Lebanon alisema Hijab inawapa wanawake wa Kiislamu utambulisho na mamlaka.
03 Jun 2023, 14:40
Oman yazindua ujenzi wa mnara wa kumkumbuka Admeri Muislamu wa China, Zheng He
Historia na Turathi

Oman yazindua ujenzi wa mnara wa kumkumbuka Admeri Muislamu wa China, Zheng He

TEHRAN (IQNA)- Ujenzi wa Mnara wa ukumbusho wa admeri maarufu Muislamu wa karne ya 15 miladia, Zheng He, ulizinduliwa Alhamisi katika mkoa wa Dhofar nchini...
03 Jun 2023, 13:49
Watu watatu wauawa katika maandamano ya Waislamu wanalalmikia kubomolewa misikiti Ethiopia
Waislamu Ethiopia

Watu watatu wauawa katika maandamano ya Waislamu wanalalmikia kubomolewa misikiti Ethiopia

TEHRAN (IQNA)- Mvutano unaendelea nchini Ethiopia kuhusu mpango tata wa kubomoa misikiti nchini humo, huku watu watatu wakiuawa katika mapigano ya hivi...
03 Jun 2023, 13:05
Mkuu wa Al-Azhar awaenzi washindi wa mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu
Harakati za Qur'ani Tukufu

Mkuu wa Al-Azhar awaenzi washindi wa mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA)- Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri amewatunuku washindi wa Mashindano ya Kila Mwaka ya Kuhifadhi Qur'ani Tukufu...
03 Jun 2023, 12:57
'Mtazamo wa Imam Khomeini kuhusu Suala la Palestina Ulitokana na Utambuzi wa Qur'ani Tukufu
Imam Khomeini

'Mtazamo wa Imam Khomeini kuhusu Suala la Palestina Ulitokana na Utambuzi wa Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA)- Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesema mtazamo wa kina wa Imam Khomeini (AS) kuhusu suala la Palestina...
03 Jun 2023, 11:20
Kufeli na ushindi katika maisha sio mambo ya kudumu
Qur’ani Tukufu Inasemaje/53

Kufeli na ushindi katika maisha sio mambo ya kudumu

TEHRAN (IQNA) – Tunakabiliana na kushindwa na kupata mafanikio katika maisha lakini ni ya muda mfupi. Kwa hiyo hatupaswi kukasirika wakati kuna kushindwa...
02 Jun 2023, 16:53
Unyenyekevu; Tabia ya Waumini
Maadili katika Qur'ani /2

Unyenyekevu; Tabia ya Waumini

TEHRAN (IQNA) – Katika maingiliano ya binadamu, kuheshimiana ni miongoni mwa kanuni muhimu zinazosaidia kukuza urafiki na mapenzi miongoni mwao.
02 Jun 2023, 16:51
Saudi Arabia yafanya mazoezi ya usalama mtandaoni kabla ya Hija
Hija 1444

Saudi Arabia yafanya mazoezi ya usalama mtandaoni kabla ya Hija

TEHRAN (IQNA) – Mazoezi ya usalama wa mtandao wa intaneti kwa ajili ya ibada ya Hija ya mwezi ujao yamefanyika nchini Saudi Arabia.
02 Jun 2023, 16:48
Kituo cha Kiislamu cha Hamburg Kuendesha Mazungumzo ya Dini Mbalimbali
Mazungumzo

Kituo cha Kiislamu cha Hamburg Kuendesha Mazungumzo ya Dini Mbalimbali

TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Hamburg nchini Ujerumani kimeandaa mazungumzo ya dini mbalimbali siku ya Alhamisi.
02 Jun 2023, 16:45
Utawala wa Israeli umenyakua kinyume na sheria Msikiti, Kanisa, Sinagogi katika Ukingo wa Magharibi
Jinai za Israel

Utawala wa Israeli umenyakua kinyume na sheria Msikiti, Kanisa, Sinagogi katika Ukingo wa Magharibi

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Israel umeripotiwa kuteka eneo la kihistoria la Wapalestina la Nebi Samuel, lililoko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto unaoukalia...
02 Jun 2023, 16:38
Picha‎ - Filamu‎