Mwenyezi Mungu, katika Surati Al-Bayyina, anaielezea Qurani Tukufu kama kitabu chenye thamani ambacho kina sheria za milele za mwongozo.
Habari ID: 3477205 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/27
Ifahamu Qur'ani Tukufu/6
TEHRAN (IQNA) – Taa zote zilizopo hapa duniani zitazimika siku moja. Hata jua halitaangaza tena siku ya kiama itakapokuja.
Habari ID: 3477138 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/12
TEHRAN (IQNA) Hisham Barzeq ni Mpalestina mwenye umri wa miaka 68 ambaye ana chumba kidogo katika moja ya misikiti huko Gaza.
Habari ID: 3477096 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Maulama na wasomi wakubwa walioshiriki katika kongamano la pili la kimataifa la 'Kuitafakari Qur'an i' lililomalizika nchini Morocco wamelaani vitendo vya ugaidi na makundi yenye misimamo mikali inayokinzana na mafundisho sahihi ya kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3421794 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/31