iqna

IQNA

haramein
Harakati za Qur'ani Tukufu
IQNA - Urais wa Haramain (misikiti miwili mitakatifu ya Makka na Madina) imezindua programu ya kujifunza Qur'ani Tukufu kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3478203    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16

Wanawake Saudia
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wameruhusiwa kuendesha treni zinazosafiri kati ya miji mitakatifu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476350    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Tarehe 24 Septemba katika siku kuu ya Idul Adha wakati zilipoenea habari za kukanyagana na kuzimia baadhi ya Mahujaji huko Mina, hakuna aliyedhani au kuamini kuwa tukio hilo lingegeuka na kuwa maafa makubwa na ya kuogofya ambayo yameshuhudiwa.
Habari ID: 3381643    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/05