iqna

IQNA

rajab
Uislamu
IQNA - Makumi ya vijana wa Kiislamu nchini Madagaska (Madagascar) walishiriki katika tukio la kipekee kama sehemu ya ibada ya Itikaf, iliyomalizika Januari 26, 2024.
Habari ID: 3478282    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Vijana katika Ibada
IQNA - Misikiti katika miji tofauti ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na Dar es Salaam, Tanga, Kigoma na Moshi iliandaa matambiko ya Itikaf wiki hii.
Habari ID: 3478262    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/27

Mawaidha
IQNA – Mwezi wa Rajab, mwezi wa saba katika kalenda ya Hijria Qamaria, umeanza leo, Januari 13 2023.
Habari ID: 3478191    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13

Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa msamaha na punguzo la vifungo kwa makumi ya maelfu ya watuhumiwa na wafungwa kwa mnasaba wa kuwadia maadhimisho ya miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na sikukuu za mwezi wa Rajab.
Habari ID: 3476518    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

TEHRAN (IQNA)- Tarehe 13 Rajab mwaka wa 30 Amul Fil, kulitokea tukio kubwa na la kushangaza ambalo lilikuwa halijawahi kutokea na halitatokea tena katika historia ya mwanadamu. Hii ilikuwa tarehe ya kuzaliwa Imam Ali AS katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu, al-Kaaba.
Habari ID: 3473680    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/24

TEHRAN (IQNA)- Ibada ya usiku wa Lailatul Raghaib imefanyika katika msikiti wa kihistoria wa Hagia Sophia mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3473664    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/19

TEHRAN (IQNA) – Leo ni Lailatul Raghaib ambao ni usiku wa kuamkia Ijumaa ya kwanza ya Mwezi wa Rajab.
Habari ID: 3473660    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/18

Zaidi ya nchi 62 zimethibitisha kushiriki katika awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3185599    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/21

Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanatazamiwa kuanza katika mji mkuu Tehran mnamo 27 Rajab sawa na Mei 15.
Habari ID: 3156549    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16