iqna

IQNA

Afya
Ramadhani
IQNA - Kufunga au saumu ni jambo la kawaida katika tamaduni na dini nyingi ulimwenguni kwa milenia.
Habari ID: 3478640    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06

Saikolojia katika Qur’ani /1
IQNA – Msongo wa mawazo (stress) au shinikizo la kisaikolojia ni hali ambayo hutokana na matukio mabaya au magumu  ambayo huathiri mwili au akili ya mtu na kusababisha msukosuko na mfadhaiko.
Habari ID: 3478375    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Uislamu na Siha
IQNA - Kundi la wanaume wazee huko Istanbul wamepata njia mpya ya kuboresha afya na ustawi wao: kufanya mazoezi katika misikiti yao mtaani baada ya sala.
Habari ID: 3478345    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Afya ya Akili Katika Qur'ani /2
IQNA - Moja ya dhana muhimu katika afya ya akili ni amani ya akili, ambayo inaweza kupatikana wakati moyo na ulimi wa mtu hujazwa na kumbkumbuka au kumtaja Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478247    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24

Ibada ya Hija 1444
TEHRAN (IQNA) – Hija, ni ibada ya kila mwaka ya dini ya Kiislamu katika mji mtakatifu wa Makka, inakaribia kutufikia, na safari ya kiroho pia inahusisha maandalizi mazuri ya matibabu kwa uzoefu wa kufurahisha.
Habari ID: 3477102    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Afya wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) umefanyika wiki hii katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3472281    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/16

Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuhusu hali mbaya ya kibinadmau nchini Yemen na kusema na kusema mkoa wa Aden unakabiliwa na hali maafa ya kiafya.
Habari ID: 3328804    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16

Huku mashambulio makali ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya Yemen yakiwa yanaingia katika mwezi wake wa tatu, maelfu ya raia wa nchi hiyo wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku miundombinu ya nchi hiyo ikiharibiwa kabisa.
Habari ID: 3309308    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/30