iqna

IQNA

Quebec
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mwanamume mmoja wa Kanada aliyekuwa na msukumo wa fikra za misimamo mikali za kibaguzi za kizungu alitumia gari lake la mizigo kulenga kwa makusudi familiaya Kiislamu kwa na kusababisha vifo vya watu wanne.
Habari ID: 3477589    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Hali ya Waislamu duniani
Waislamu nchini Kanada wamelalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika shule za serikali jimboni Quebec .
Habari ID: 3477029    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimepongeza uamuzi wa serikali ya Canada kutangaza siku maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474879    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01

TEHRAN (IQNA) - Mameya wa miji miwili ya Canada ambayo imeshuhudiwa hujuma dhidi ya Waislamu wamemtumia barua waziri mkuu Justin Trudeau wakitaka kuitishwe kikao cha kujadili chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474044    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26

TEHRAN (IQNA)- Mtu ambaye alipatikana na hatia ya kuuhujumu msikiti na kuua Waislamu sita katika mkoa wa Quebec nchini Canada mwaka 2017 sasa anaweza kuwasilisha ombi la kuachiliwa huru baada ya miaka 25 gerezani.
Habari ID: 3473398    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27

TEHRAN (IQNA) – Waalimu wametimuliwa katika shule moja huko Montreal, Canada baada ya kusistiza kuendelea kuva vazi la staha la Kiislamu, Hijab.
Habari ID: 3472127    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/12