TEHRAN (IQNA) - Mke wa mwandishi wa habari Jamal Khashoggi aliyeuawa kinyama mikononi mwa maajenti wa Ufalme wa Saudi Arabia huko Uturuki ameitaka Marekani iuwajibishe ufalme huo kutokana na mauaji ya kinyama ya mwandishi na mkosoaji huyo.
Habari ID: 3474373 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Canada imeongeza walinzi wa Ali Saad al-Jabri, mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi ya Saudi Arabia ikihofia kuuawa na serikali na Saudi Arabia.
Habari ID: 3473049 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/09
TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja nchini Uturuki leo imeanza kusikiliza kesi ya maafisa 20 wa utawala wa Saudi Arabia waliohusika na mauaji ya mwandishi wa habari raia wa nchi hiyo Jamal Khashoggi.
Habari ID: 3472924 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03
TEHRAN (IQNA) - Baada ya kupita karibu mwaka mmoja tangu mauaji ya mwandishi na mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia Jamal Khashoggi, mrithi wa ufalme wa nchi hiyo Muhammad bin Salman amekana kuhusika na mauaji hayo lakini amekubali kubeba dhima na lawama zake.
Habari ID: 3472150 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/28
TEHRAN (IQNA) – Mchunguzi maalumu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa ushahidi unaonyesha mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na maafisa kadhaa wa ngazi ya juu wa ufalme huo walihusika na mauaji ya mwandishi habariJamal Khashoggi.
Habari ID: 3472008 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/20