IQNA

Qari: Kipindi cha Qur’ani cha Iran “Mahfel” chavuma kimataifa

Qari: Kipindi cha Qur’ani cha Iran “Mahfel” chavuma kimataifa

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
15:25 , 2025 Sep 21
Onyo la IRGC: Iran itajibu vikali uchokozi wowote mpya wa maadui

Onyo la IRGC: Iran itajibu vikali uchokozi wowote mpya wa maadui

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limewaonya maadui wa Iran hususan utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani kwamba, watakabiliwa na majibu makali na madhubuti ya Jamhuri ya Kiislamu iwapo watafanya makosa yoyote mapya au kufanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.
15:06 , 2025 Sep 21
Nchi 70 zashiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya mjini Benghazi

Nchi 70 zashiriki Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya mjini Benghazi

IQNA – Mji wa Benghazi ulioko kaskazini mashariki mwa Libya ni mwenyeji wa toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya nchi hiyo.
14:57 , 2025 Sep 21
Fainali za Mashindano ya 6 ya Qur’ani kwa Maulamaa wa Afrika kufanyika wiki ijayo

Fainali za Mashindano ya 6 ya Qur’ani kwa Maulamaa wa Afrika kufanyika wiki ijayo

IQNA – Taasisi ya Mohammed VI ya Maulamaa wa Afrika inatarajiwa kuandaa fainali za mashindano yake ya sita ya kuhifadhi, kusoma, na tajwidi ya Qur’ani Tukufu kuanzia tarehe 26 hadi 28 Septemba.
14:50 , 2025 Sep 21
19