IQNA

Uzinduzi wa Msikiti wa Al-Mustafa na Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani katika mji mkuu wa Ghana

Uzinduzi wa Msikiti wa Al-Mustafa na Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani katika mji mkuu wa Ghana

IQNA – Msikiti mpya umezinduliwa katika mji mkuu wa Ghana kwa ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya Qatar .
16:57 , 2025 May 07
Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, alimtembelea Ayatullah Hossein Ali Nouri Hamedani katika hospitali moja mjini Tehran.
16:49 , 2025 May 07
Uanzishwaji wa Sekretarieti ya Kudumu kwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran 

Uanzishwaji wa Sekretarieti ya Kudumu kwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran 

IQNA – Mkutano umefanyika Tehran Jumatatu ili kujadili mikakati ya kuendeleza vipengele vya kimataifa vya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 
23:58 , 2025 May 06
Maktaba ya Kitaifa ya Misri inahifadhi hati adimu za Qur’ani kutoka historia ya Kiislamu

Maktaba ya Kitaifa ya Misri inahifadhi hati adimu za Qur’ani kutoka historia ya Kiislamu

IQNA-Maktaba na Makavazi ya Kitaifa ya Misri, inayojulikana kama Dar Al-Kutub, inahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa hati za Qur’ani za kale na za kihistoria, baadhi yake zikiwa na zaidi ya miaka elfu moja.
23:49 , 2025 May 06

"Tuko Katika Ahadi": Kaulimbiu Kuu ya Matembezi  ya Arbaeen    

IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS). 
23:38 , 2025 May 06
Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

Huduma za kidijitali zinazotumia Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji

IQNA – Mpango mpana wa uendeshaji kwa msimu wa Hija utazinduliwa nchini Saudi Arabia, huku tangazo rasmi likipangwa kutolewa Alhamisi. 
23:19 , 2025 May 06
Tuzo  ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala: Raundi ya pili ya hatua ya awali yaanza

Tuzo  ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala: Raundi ya pili ya hatua ya awali yaanza

IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
22:48 , 2025 May 06
17