Haram Takatifu ya Qom kuandaa hafla ya kumbukumbu ya kifo cha viongozi wa Hizbullah
IQNA – Hafla maalum ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imepangwa kufanyika wiki hii katika haram tukufu ya Hazrat Masoumeh (SA) huko Qom.
2025 Sep 30 , 16:52
Viongozi wa Iran na Masheikh wa Vyuo vya Kiislamu watoa rambirambi kwa Ayatullah Sistani
IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametuma ujumbe wa rambirambi kwa kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, kufuatia kifo cha mke wake mpendwa.
2025 Sep 30 , 16:40
Mafundisho ya Qur’ani yadhihirika kwa kina katika Mashairi ya Rumi, asema mwanazuoni
IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran, Karim Zamani, asema kazi za Rumi, hasa Masnavi, zinaakisi kwa kina mafundisho ya Qur’ani Tukufu, kuanzia misingi ya itikadi hadi mtindo wa simulizi.
2025 Sep 30 , 16:37
Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’
IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qom, likijumuisha makundi matatu kuu, waandaaji walitangaza.
2025 Sep 28 , 15:45
Saudia Kuanzisha Makumbusho ya Kudumu Kuhusu Hija na Misikiti Miwili Mitukufu
IQNA – Mamlaka za Ufalme wa Saudi Arabia zimetangaza mpango wa kuanzisha makumbusho ya kudumu yatakayohifadhi historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu ya Kiislamu.
2025 Sep 29 , 15:32
Qatar kuandaa mikutano ya kimataifa kuhusu Qur'ani na Fikra za Kiislamu
IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi Oktoba 2025.
2025 Sep 29 , 15:13
Madrasa ya Al-Azhar imeandaa kikao kuhusu Upepo Katika Qur’an Tukufu
IQNA – Semina maalum kuhusu "Vipengele vya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’an Tukufu Kuhusiana na Upepo" inatarajiwa kufanyika leo katika Msikiti mkuu wa Al-Azhar, nchini Misri.
2025 Jul 14 , 17:24
Matembezi ya Arbaeen yaanza rasmi kusini mwa Iraq, kutoka Ras al-Bisheh hadi Karbala
IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko kusini kabisa mwa Iraq katika mkoa wa Al-Faw, wakielekea mji mtakatifu wa Karbala.
2025 Jul 14 , 17:18
Mwanamke Mrusi aliyesilimu afafanua alivyopambana na saratani kwa nguvu ya Imani
IQNA – Kutoka katika ulimwengu wa mitindo mjini Moscow hadi katika mapambano na kifo, maisha ya mwanamke wa Kirusi, Lyudmila Anufrieva, yalichukua mkondo mkubwa na hatimaye yakamfikisha katika Uislamu, ambapo alianzisha taasisi ya Mila For Africa Foundation, inayosaidia watoto wasiojiweza nchini Senegal.
2025 Jul 13 , 15:21
Marufuku ya maombolezo ya Muharram yaripotiwa tena nchini Bahrain
IQNA – Kama ilivyokuwa katika miaka iliyopita, mamlaka za Bahrain zimeendelea kuweka vizuizi juu ya maombolezo ya Muharram, hasa katika siku ya Ashura, mwaka huu pia.
2025 Jul 13 , 15:08
Srebrenica  yaadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Bosnia
IQNA – Maelfu ya watu wamekusanyika Srebrenica siku ya Alhamisi kuadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya mwaka 1995, ambapo miili ya wahanga saba waliotambuliwa hivi karibuni imezikwa katika Makaburi ya Ukumbusho ya Potočari.
2025 Jul 12 , 22:24
Mashekhe wa Ulaya waliopotea wakosolewa vikali kwa kutembelea Israel kukiwa na mauaji ya kimbari Gaza
IQNA – Kundi la watu wanaojiita viongozi wa Kiislamu na maimamu wa jamii za Waislamu barani Ulaya limekumbwa na ukosoaji mkali baada ya kufanya ziara katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu wiki hii, wakati ambapo utawala wa Kizayuni unaendelea na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza.
2025 Jul 12 , 11:14