iqna

IQNA

uislamu
Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Maiti ya M uislamu mmoja ilichomwa moto nchini Ujerumani baada ya hospitali mjini Hannover kuchanganya maiti mbili.
Habari ID: 3476294    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 18 la kimataifa linalofanyika kwa anuani ya "Uislamu, Uadilifu na Mlingano, Misingi ya Dini na Nidhamu ya Ulimwengu" umeanza rasmi katika mji mkuu wa Russia, Moscow na kufunguliwa kwa salamu za Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476223    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Uislamu na Mazingira
TEHRAN (IQNA) – Faiza Abbasi, mhadhiri wa vyuo vikuu nchini India ambaye mkurugenzi wa Kituo cha Maendeleo ya Rasilimali Watu cha UGC, amesema Uislamu unafundisha ubinadamu na kutunza mazingira ya sayari ya dunia.
Habari ID: 3476141    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Wahubiri wa kiume na wa kike wenye uwezo wa kuzungumza lugha kadhaa katika Msikiti wa Kijiji cha Utamaduni cha Katara katika mji mkuu wa Qatar wa Doha wanatoa maelezo kuhusu Uislamu na halikadhalika wanabainisha uvumilivu wa dini hii tukufu kwa watalii wakati wa Kombe la Dunia la 2022.
Habari ID: 3476139    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24

Uislamu na Mazingira
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri siku ya Jumamosi ilizindua kitabu kuhusu uhusiano kati ya mazingira na Uislamu.
Habari ID: 3476043    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Sira ya Mtume Muhammad
TEHRAN (IQNA) - Mapitio ya vitabu vya historia yanaonyesha kuwa vita vyote wakati wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) vilikuwa vya kujihami au kujitetea na kwamba hakuanzisha vita yoyote.
Habari ID: 3476040    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Maadili ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Qatar imetayarisha maandishi makubwa ya hadithi za Mtume Muhammad (SAW) yatakayowekwa maeneo muhimu wakati wa Kombe la Soka la Dunia la 2022.
Habari ID: 3476017    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wakati mwingine watu hawaamini wanachokiona bali wanajaribu kupata elimu na imani inayohitajika ili kupata uhakika wa kile walichokiona.
Habari ID: 3475899    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jahl (ujinga) ni sifa isiyofaa kwa mwanadamu kwani sio tu kwamba inaleta madhara kwa mtu mwenyewe, bali pia inaweza kuwapoteza watu wengine au makundi ya watu.
Habari ID: 3475893    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu ni kitabu cha maisha kinachowaongoza wanadamu kwenye ukamilifu na ufanisi; kwa hivyo inategemewa kwamba Kitabu hiki kitatoa majibu kwa maswali ya kimsingi kuhusu maisha.
Habari ID: 3475885    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti ina nafasi maalum katika Uislamu. Misikiti sio tu ni sehemu za ibada au Sala bali pia ina kazi mbalimbali za kidini, kijamii na kisiasa.
Habari ID: 3475860    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mashirika ya kiraia ya Kiislamu yameshutumu nchi za Ulaya kwa kukandamiza jamii za Kiislamu, na hivyo kuzusha hali ya wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu inayofadhiliwa na serikali barani Ulaya.
Habari ID: 3475859    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Ikhlasi, ni neno linalomaanisha usafi au usafishaji, ni sifa inayokamilisha kila tendo cha watu binafsi na kufikia Ikhlasi kunahitaji kujiboresha.
Habari ID: 3475856    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Jimbo la Arizona (ASU) kilifungua Kituo cha Uzoefu wa Kiislamu nchini Marekani muhula huu.
Habari ID: 3475840    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Uislamu unasisitiza juu ya mwingiliano mzuri wa kiuchumi, ukisisitiza kwamba mtu anapaswa kujitahidi kupata pesa kwa nj ambazo ni ‘Halal’ au kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3475830    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaja tukio la kimiujiza la maandamano na matembezi ya Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu ya kunyanyua juu bendera ya Uislamu ya Ahlul Bayt-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yao-.
Habari ID: 3475797    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwanadamu daima yuko katika kutafuta furaha na wokovu na huwa anapouona wokovu huu katika viwango tofauti vya mtu binafsi, familia na kijamii.
Habari ID: 3475644    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Ufisadi katika nyanja yoyote husababisha kudhoofisha misingi. Jamii iliyoathiriwa na ufisadi itaona matatizo mbalimbali katika ngazi ya mtu binafsi, familia na kijamii. Kwa hiyo, jamii yoyote salama hujitahidi kupambana na ufisadi na kuuzuia.
Habari ID: 3475633    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Sala ya mvua
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Ufaransa wameombea mvua wakati nchi hiyo, pamoja na mataifa mengine ya Ulaya, yakikumbwa na kile kilichotajwa kuwa ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 500.
Habari ID: 3475625    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Salman Rushdie, mwandishi murtadi wa kitabu cha Aya za Shetani kinachomtusi na kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW, na ambaye ameshambuiwa kwa kuchomwa kisu mjini New York Marekani, ametangaza kuwa, baada ya kufanyiwa upasuaji uliochukua saa kadhaa, hivi sasa Rushdie anasaidiwa kuvuta pumzi kwa mashine ya kupumulia, lakini hawezi kuongea.
Habari ID: 3475616    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/13