TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Awqaf nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa amekutana na Katibu Mkuu wa Akademia ya Kimataifa ya Fiqhi Sheikh Koutoub Mustafa Sano kujadili njia ya kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3474077 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Sayansi za Fiqhi umefanyika hivi karibuni katika mji mkuu wa Oman, Muscat ambapo mada kuu ilikuwa ni kuhusu maji.
Habari ID: 3472270 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11