IQNA

Qiraa ya Qur'ani

Sheikh Yasser Al Dossari akisoma Qur'ani wakati wa sala ya Alfajiri katika Masjid al-Haram + Video

Klipu ya qiraa ya usomaji mzuri na wenye mvuto wa Qur'ani Tukufu Yasser Al-Dosri, mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Saudi Arabia na mmoja wa maimamu wa Masjid al-Haram (Msikiti Mtakatifu wa Makka) katika sala ya Alfajiri katika msikiti huu mtukufu, imevutia hisia za watumiaji wengi wa mtandao.

Kulingana na mwandishi wa IQNA, klipu  ya usomaji mzuri wa Sheikh Yasser Al Dossari katika sala ya asubuhi ya Masjid Al-Haram imesambazwa mitandaoni ambalo  hali ya kiroho ya waumini inaweza kuhisika katika mazingira yaliyojaa utulivu na unyenyekevu katika Masjid al-Haram.