IQNA

Ramadhani katika dunia iliyogubukwa na COVID-19

15:46 - May 05, 2021
Habari ID: 3473879
TEHRAN (IQNA)- Kwa mwaka wa pili mfululizo, Waislamu wamefunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani janga la COVID-19 likiwa limeenea duniani kote.

Katika maeneo mengi ya dunia kumewekwa vizingiti vingi ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 na hivyo mwezi mtukufu wa Ramadhani haukuwa kama ilivyoadha katika nchi nyingi. Pamoja na ku

 
 
Kishikizo: ramadhani covid 19
captcha