IQNA

Mahafali ya Ukuruba na Qur'ani Ujerumani

Mahafali ya Ukuruba na Qur'ani katika Chuo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani pamoja na warsha ya kufundisha Qur'ani imefanyika tarehe 26 Februari na miongoni mwa walioshiriki ni Ustadh Rahim Khaki